Naibu Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Takwimu Ofisi ya Taifa ya Takwimu alipotembelea banda la Wizara katika maenesho ya biashara.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Jenifa Omolo (Kushoto) akiongea na Mstaafu Bi Sura Rwiza (kulia) aliyefika kuhakikiwa katika Banda la Wizara kwenye Maonesho ya Biashara.
Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Dk. Ashatu Kijaji, akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha na Mipango kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (TanTrade)
Wanafunzi kutoka Ruangwa mkoani Lindi walipotembea Banda la Wizara ya Fedha na Mipango kwenye Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar Es Salaam (TanTrade), Jijini Dar Es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Taifa Dkt. Nicolaus Shombe, akimsikiliza Mhitimu na Mjasiramali kutoka Chuo cha Uhasibu (TIA) katika Maonesho ya Biashara (TanTrade), Tanzania.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Taifa Dkt. Nicolaus Shombe, akimsikiliza Mhadhiri wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini Bw. Christopher Mdoe, katika Maonesho ya Biashara.